AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Ni headlines za mwanamuziki KondeBoy @harmonize_tz ambae ametumia insta story yake kuomba radhi kwa mashabiki zake baada ya kushindwa kukohoa katika wimbo wake mpya wa "Mwaka huu" uliotoka siku ya jana.
Style/Mtindo huo wa kukohoa kutoka kwa mwanamuziki huyo ambayo amekua akiutumia kama sign tune yake katika intro za nyimbo zake, umeonekana kuwa pendwa kwa mashabiki zake haswa katika siku za hivi karibuni.
C©✍🏾@keviiiy.iam
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK