Kumekucha...Harmonize na Briana Waachana, Hamo Athibitisha Kwa Kuandika Haya

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Huenda penzi la mwanamuziki na C.E.O.wa KondeGang @harmonize_tz na mpenzi wake mzungu raia wa Australia #briana limevunjika , kulingana na mfululizo wa post zake kupitia insta story yake.






Ikumbukwe kuwa penzi la Harmonize na Briana lilianza rasmi mwishoni mwa mwaka jana miezi kadhaa baada ya kuachana na aliyekua mpenzi wake #Kajala.

Mbali na hayo mwanamuziki huyo ametangaza kuachia wimbo wake mpya siku ya kesho unaitwa 'Mwaka Wangu'

Cc✍🏾@keviiiy.iam


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad