AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
"Wapinzani wetu wanaofuata ni Yanga Sc ambao wanaonekana kuwa bora katika msimu huu kwani wapo juu ya msimamo wa ligi kwa tofauti ya pointi nyingi dhidi yetu lakini kama kocha mimi na kikosi changu tupo tayari na tunayo njia ya kuwasimamisha Wananchi katika uwanja wao wa nyumbani, najua itakuwa ngumu ila tutajiandaa kama wao wanavyojiandaa ikibidi tutakuja imara zaidi yao"- Mathiasi Lule Kocha Mkuu wa Mbeya City Fc
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK