AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Mapenzi haya, mwanadada mmoja amekuwa gumzo kwenye mtandao wa TikTok baada ya kukiri kwamba alisalitiwa na kisha kuachwa na mpenzi wake miezi 10 baada ya kumpatia Figo yake. Colleen Le (30) anayeishi nchini Marekani amesema boyfriend wake huyo wa zamani alikuwa akisumbuliwa na figo tangu ana umri wa miaka 17.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK