Mwanamuziki Angella Afunguka Kuhusu Harmonize "Umeniheshimu Nakupenda Sana"

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Kutoka Kwenye Ukurasa Wa Instagram Wa @anjella_tz
Ameandika............"NI JAMBO LA KUMSHUKURU MUNGU MWAKA TUMEUONA SALAMA, LAKINI PIA NINGEPENDA KUMSHUKURU KAKA ANGU @harmonize_tz NA @kondegang KWA UJUMLA NAKUMBUKA MWAKA JANA TAREHE KAMA YA LEO NILIFIKA OFFICE YA KONDE MUSIC NIKIWA NA BABA YANGU TULIENDA KWAAJILI YA KUONANA NA BIG BOSS @harmonize_tz BAADA YA KUTANGAZA NA KU COMFIRM KUA MIMI NDIYE NITAKAEFANYA NAE COLLABORATION NA IKAPATIKANA #ALLNIGHTSONG KAKA YANGU MUNGU AKUTUNZE POPOTE UKANYAGAPO UKAWE BARAKA UMENIHESHIMISHA KILA SEHEMU😣 NAKUPENDA SANA NA NINAKUKUBALI SANA
HAPPY NEW YEAR🥳🥳🥳''

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad