AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Waliofanya ule upumbavu walijua wanamuharibia Meena Ally, kumbe ndio kwanza Wamempa chachu ya kupambana zaidi.
Ukimpiga Chura teke usitegemee kwamba utamuua bali utamuongezea tu Speed afike haraka anapokwenda.
Hivyo hivyo kwa Meena Ally, hivi sasa hajaanguka, ndio kwanza Amepata Followers wakutosha, pia ndio muda amegundua kuwa anapendwa sana na watanzania hata katika matatizo.
Bongo tatizo watu wanawivu sana wameona meena ndio mtangazaji wa kike mkubwa hivi sasa hapa Tanzania hivyo wakaona walete hizi chokochoko, haya wamefeli, wajaribu mbinu nyingine maana ukweli umeshajulikana.
Na niapie tu mwaka huu utaleta mafanikio makubwa sana kwa Meena Ally, atapata michongo mingi sana ya nje na ndani ya nchi.
Hopetyga
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK