Taarifa Ambazo si Nzuri kwa Wapenzi wa Muziki, Profesa Jay Amelazwa Muhimbili Hali yake Sio Nzuri...Tumuombee

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA



Taarifa ambazo si nzuri kwa wapenzi wa muziki wa kizazi kipya ni kuwa msanii mkongwe wa Hip Hop nchini, @professorjaytz amelazwa kwenye Hospitali ya Muhimbili huku hali yake ikiwa si nzuri. Kwa mujibu wa mtu wa karibu na msanii huyo ni kuwa Prof Jize licha ya kuwa anapatiwa matibabu lakini hali yake ilikuwa mbaya sana kiasi cha kulazwa ICU, akifanyiwa transfer toka hospitali ya Lugalo hadi Hospitali ya Taifa ya Muhimbili.

Pia Ndugu huyo wa Prof amedai bado madaktari hawajatoa taarifa kamili kuwa legend huyo anasumbuliwa na nini zaidi wamekuwa wakiwaambia ndugu hao kuendelea kumuombea msanii huyo.

Hili liwe letu sote, tumuombee Professor Jay arudi kwenye hali yake ya kawaida inshallah🙏

Source: Clouds Fm © Askofu tza
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad