AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Watu ambao idadi yao haijafahamika wamefariki dunia na wengine kujeruhiwa katika ajali iliyotokea eneo la Sindeni Wilayani Handeni Mkoani Tanga, usiku wa kuamkia leo Jumatano Machi 16, 2022
Mkuu wa Wilaya ya Handeni (DC), Siriel Mchembe amethibitisha kutokea kwa ajali hiyo akisema idadi kamili ya vifo na majeruhi bado haijafahamika
Taarifa za awali zinaeleza Toyota Hiace ilipasuka tairi na kupotea njia, na baada ya hapo wananchi walijitokeza kuangalia ajali, ikatokea Toyota Coaster na kuwagonga
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK