Ajali Yaua Handeni, Walioenda Kushuhudia Ajali Nao Wagongwa

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA





Watu ambao idadi yao haijafahamika wamefariki dunia na wengine kujeruhiwa katika ajali iliyotokea eneo la Sindeni Wilayani Handeni Mkoani Tanga, usiku wa kuamkia leo Jumatano Machi 16, 2022

Mkuu wa Wilaya ya Handeni (DC), Siriel Mchembe amethibitisha kutokea kwa ajali hiyo akisema idadi kamili ya vifo na majeruhi bado haijafahamika

Taarifa za awali zinaeleza Toyota Hiace ilipasuka tairi na kupotea njia, na baada ya hapo wananchi walijitokeza kuangalia ajali, ikatokea Toyota Coaster na kuwagonga


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad