Amber Lulu Akerwa na Tamasha la Harmonize Afro East Carnival...

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA



Muda mchache baada ya mwanamuziki @iamamberlulu kuhudhuria na kutumbuiza katika tamasha la Afro East Carnival, amshindwa kujizuia kutoa yake ya moyoni kuhusu tamasha hilo lililo andaliwa na mwanamuziki @harmonize_tz


Kupitia insta story yake Amber amewekwa wazi kutopendezwa na neno deserve kwenye baadhi ya meza (ikimaanisha watu hitajika katika eneo hilo) jambo alilohoji kuwa wengine hawahitajiki mahali hapo au sio muhimu.

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad