Bob Risky Mwanaume Kutoka Nigeria Aliyejibadilisha Jinsia na Kuwa wa KIKE Amtamani Diamond Platnumz..Aandika Haya

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Mwanamitandao maarufu Kutoka Nigeria @bobrisky222 ametangaza kuja tanzania kwa lengo la kukutan na mwanamuziki @diamondplatnumz mara baada kudai kuvutiwa na kipaji cha mwanamuziki huyo.


Kupitia ukurasa wake rasmi wa Instagram, mwanamitandao huyo ameShare picha ya @diamondplatnumz na kuambatanisha na ujumbe alio andika kwa lugha ya kiswahili, kuonesha namna anavyotamani kukutana na mwanamuziki huyo.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad