Canada Yawataka Raia Wake Kuondoka Urusi



Taifa hilo limewashauri Raia wake kuondoka Nchini #Russia wakati huu ambapo fursa za kufanya hivyo bado zipo, likisema hali ya Usalama haitabiriki na inaweza kuwa mbaya ghafla

Aidha, Shirika la Fedha la Kimataifa (IMF) limeonya kuwa athari za kiuchumi kimataifa kutokana na vita kati ya Ukraine na Urusi zitakuwa mbaya zaidi ikiwa mzozo huo utaendelea

Mashambulizi ya Urusi dhidi ya #Ukraine yaingia siku ya 11 huku idadi ya wakimbizi ikitarajiwa kufikia Milioni 1.5

______

Usikose Elimu ya pesa ni muhimu mno,na zaidi ukilipia Tsh 1000 ebook hapo Chini unaweza kushinda Tsh Laki moja bofya HAPA



 
Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Below Post Ad