Canada Yawataka Raia Wake Kuondoka Urusi

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA



Taifa hilo limewashauri Raia wake kuondoka Nchini #Russia wakati huu ambapo fursa za kufanya hivyo bado zipo, likisema hali ya Usalama haitabiriki na inaweza kuwa mbaya ghafla

Aidha, Shirika la Fedha la Kimataifa (IMF) limeonya kuwa athari za kiuchumi kimataifa kutokana na vita kati ya Ukraine na Urusi zitakuwa mbaya zaidi ikiwa mzozo huo utaendelea

Mashambulizi ya Urusi dhidi ya #Ukraine yaingia siku ya 11 huku idadi ya wakimbizi ikitarajiwa kufikia Milioni 1.5

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad