AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Mwanamuziki @diamondplatnumz ameoneshwa kutoridhika na viongozi wa serikali waliopewa mamlaka ya kusimamia sanaa.
Kupitia Instastory yake Diamond ameandika " Serikali ina nia njema sana ya kukuza sanaa ila inatakiwa kuwa makini sana na watu wanaowateua kusimamia nyanja mbalimbali katika tasnia zetu. Maana watu hao wanachokifanya ni kuidharirisha Taifa na kufanya Taifa letu lionekane halina weledi"
Pamoja na kuandika hayo Diamond Platnumz hajaweka wazi ni viongozi gani ambao amewalenga katika ujumbe wake huu
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK