Diamond Platnumz Kamkimbia Harmonize

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA



Diamond Platnumz ni supastaa wa muziki nchini Tanzania ambaye alipanga kuachia albam take fupi (EP) leo Machi 4, 2022, lakini ameahirisha na sasa itatoka rasmi Machi 11, 2022.

Kuna tetesi kuwa Diamond amemkimbia Harmonize ambaye wikiendi amedhamiria kuteka jiji na tamasha lake la Afro-East linalofanyika kwa siku mbili katika Uwanja wa Tabata-Shule jijini Dar.

Kwa mujibu wa tetesi hizo, Diamond ameshtuka kuwa EP hiyo inaweza isikimbize kutokana na matukio ya Harmonize na tamasha laek.

Diamond ametoa tangazo la ujio wa EP yake hiyo akidokeza kwamba ataiachia Machi 11, mwaka huu, kinyume na tangazo lake la awali kuwa ingetoka Ijumaa ya Machi 4, mwaka huu.


Diamond ametoa jina la ufupisho wake kuwa FOA ambapo pia amewataka mashabiki wake kung’amua kirefu chake.
Baadhi ya mashabiki wamejaribu kung’amua jina la EP hiyo kwa urefu na ubashiri wa mashabiki wengi ni vichekesho tu kwani kia mtu amejaribu kutoa wake ilmradi herufi hizo tatu zinaonekana.
“Father Of Africa,” mmoja alimtania.
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad