Fahamu Hali ya Mchezaji wa Yanga Jesus Moloko

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA



Mabingwa wa Kihistoria Ligi Tanzania Bara Young Africans Sports Club imeelezea hali ya Winga wao Mkongo, Jesus Ducapel Moloko ambaye kwa sasa ni majeruhi.


Yanga SC imesema kuwa Moloko amefanyiwa upasuaji jana siku ya Ijumaa March 4, 2022 na umekwenda vizuri.

”Mchezaji wetu Jesus Moloko amefanyiwa upasuaji leo. Upasuaji huo umeenda vizuri na anatarajiwa kuwa nje ya uwanja kwa kipindi kifupi.”- Yanga

Moloko aliumia kwenye mchezo wa Michuano ya Azam Sports Federation Cup dhidi ya Biashara United katika uwanja wa Benjamin Mkapa katika dakika ya 44 na nafasi yake kuchikuliwa na Dikson Ambundo.



-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad