Fid Q "Maoni Yenu Kuhusu Steve Nyerere Tumeyaona, Tunaomba Muwe na Subira..Kesho SHIRIKISHO Litatoa TAMKO


MAONI yenu tumeyaona na kuyazingatia.. Kwa ufupi tumeziona pande zote TATU za HISIA, wapo wanaoamini ANAFAA.. wapo wanaoamini HAFAI, wapo ambao wapo curious wanataka kujua atafanya nini akipewa MUDA..

————-> tunaomba muwe na subira.. kesho SHIRIKISHO litatoa TAMKO.. 🙏🏾
______

Usikose Elimu ya pesa ni muhimu mno,na zaidi ukilipia Tsh 1000 ebook hapo Chini unaweza kushinda Tsh Laki moja bofya HAPA



 

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Below Post Ad