Harmonize Kuendeleza Ukarimu wa Marehemu Mengi Kwa Walemavu...Atangaza Kusherehekea Birthday Pamoja nao

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Katika kusherehekea siku yake ya kuzaliwa mwanamuziki @harmonize_tz ametangaza kuja na tamasha lake la #oneloveconcert lenye dhumuni ya kuchangia na kufurahia na watu wenye mahitaji maalumu tarehe 20.03.2022 mlimani city dar es salaam.

Kupitia taarifa yake aliyoShare katika ukurasa wake wa Instagram @harmonize_tz ameleeza kuchangia kiasi cha million 2 huku akitaka kuungana na wadau na mashabiki mbalimbali kuchangia chakula, nguo, fenicha, vyombo pamoja na fedha kuanzai kiasi cha shiling 1000/= na kuendelea


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad