Irene Uwoya "Sijui Natumia Kiasi Gani Cha Pesa Cha Msingi ni Kuenjoy Maisha"

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Majibu hayo yamezuka baada ya kuulizwa anawezaje kuhudumia watu wengi anaotembea nao kila anakokwenda huku wakiwa wanakaa kwenye hoteli za gharama kubwa.

Akizungumza na Gazeti la IJUMAA, Uwoya anasema kuwa, inategemea, lakini cha msingi ni kuinjoi maisha.

“Mara nyingi huwa siwezi kujua ni kiasi gani cha pesa kwa sababu huwa sipendi kuongelea sana hilo suala kwamba eti natumia kiasi gani, inategemea na bata lenyewe linafanyikia wapi,” anasema Uwoya ambaye anakuambia pesa haitafutwi, bali inategwa.
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad