AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Wakili Peter Thadeo amesema Sheria ya Ndoa haijazuia wala kukataza mke au mume kuchepuka lakini ametahadharisha kuwa kuchepuka kupitiliza kunaweza kupelekea ndoa kuvunjwa.
Wakili Peter amesema kinachozuiwa na Sheria ya Ndoa ni mwanamke kufunga ndoa nyingine akiwa kwenye ndoa. Adhabu yake ni kufungwa jela hadi miaka mitatu.
Ukiingia kwenye ndoa na mtu mwenye tabia ya kuchepuka usidhani kama sheria itakusaidia.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK