Kimeumana Ruby na Sarafina...Ruby Awataka Mashabiki Wake Kutotoa Support Wimbo Mpya wa Sarafina Aliomshirikisha

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA




Wasanii wa kike, Ruby pamoja na @saraphina__tz ambao wiki hii wameachia kolabo yao inayoitwa Number One,wameonekana kutofautiana huku Ruby kupitia group lake la WhatsApp akiwataka mashabiki zake kuacha kusupport ngoma hiyo ya Saraphina ambayo Ruby kashirikishwa.


Inaaminika chanzo kikubwa cha utofauti huo ni Saraphina kwenda kinyume na makubaliano ya wawili hao hasa matumizi ya Madansa kwenye video hiyo.

Sajo/Rickmedia
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad