Kituo Cha Mitambo ya Nyuklia Ukraine Chashambuliwa na Urusi

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA



Kituo cha Mtambo mkubwa wa Nishati ya Nyuklia Barani Ulaya kilichoko #Ukraine kimelengwa katika mashambulizi ya Urusi usiku wa kuamkia leo Ijumaa

Waziri wa Mambo ya Nje wa Ukraine, Dmytro Kuleba ametaka kusitishwa mara moja kwa mapigano katika eneo hilo ili kuepusha Maafa

Msemaji wa Mtambo huo wa #Zaporizhia, Andrei Tuz amesema shambulio la makombora lililofanywa na Vikosi vya Urusi, limesababisha Moto kuwaka katika mojawapo ya sehemu ya kituo hicho

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad