Kufuatia Tukio la Will Smith Kumchapa Kibao CHRIS Rock, Jada Smith Kayaandika Haya

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA



Jada Pinkett Smith amevunja ukimya baada ya Mume wake Will Smith kukosolewa kwa kumpiga kibao Mchekeshaji Chris Rock kwa kufanya mzaha juu yake.


“Vurugu njia zote ni sumu na uharibifu, mwenendo wangu wa jana usiku katika Tuzo haukubailiki na hauna udhuru, utani ni sehemu ya kazi lakini mzaha kuhusu hali ya kiafya ya Jada ulikuwa mzito sana kwangu kuvumilia kihisia.”- Aliandika Will Smith

Tukio hilo la Jumapili usiku lilitokea kabla tu ya Smith kushinda tuzo ya Oscar ya Muigizaji Bora, wakati mchekeshaji Rock alipokuwa jukwaani kutoa tuzo ya Makala Bora kisha akamdhihaki Jada kwa kunyoa nywele, Jada ana ugonjwa unaosababisha nywele zake kukatikakatika.
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad