Maelfu wakamatwa kwenye maandamano Urusi

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA



Zaidi ya watu 4,300 wamekamatwa katika maandamano ya kupinga vita kote Urusi siku ya Jumapili, mashirika ya kutetea haki za binadamu na mamlaka ya Urusi yanasema.

Watu wapatao 1,700 walizuiliwa huko Moscow pekee, shirika la habari la Ria linaripoti, likinukuu wizara ya mambo ya ndani.

Kundi la haki za OVD-Info linasema kamata kamata hiyo ilifanyika katika miji 53.

Ingawa maandamano yamezidi kuzuiliwa katika miaka ya hivi karibuni, mikutano mingi imefanyika kote Urusi tangu uvamizi huo.

Katika siku 11 zilizopita, zaidi ya watu 10,000 walizuiliwa kwenye maandamano, OVD-Info inasema.

Maria Kuznetsova, msemaji wa OVD-Info, aliliambia shirika la habari la Reuters kutoka Tbilisi nchini Georgia. "Tunaona maandamano makubwa leo - hata katika miji ya Siberia, ambapo ni mara chache tuliona idadi kama hiyo ya kukamatwa."
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad