March 18th matukio ya kihistoria yanaenda kuandikwa kwa mastaa wafuatao

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


March 18th matukio ya kihistoria yanaenda kuandikwa kwa mastaa wafuatao.

1. Baada ya safari yake ya muziki kujaa chamgamoto nyingi,Msanii @richmavoko anaachia Albamu yake aliyoipa jina la FUNDI.

2. Baada ya ukimya wa muda mrefu kwenye muziki, msanii @ommydimpoz anaachia ngoma yake kama utangulizi wa albamu yake anayoiachia hivi karibuni.

3. Diamond Platnumz & @zarithebosslady kwa mara ya kwanza wanaonekana Netflix kupitia Makala inayoitwa YOUNG,FAMOUS & AFRICAN.  
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad