AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Marekani imekanusha taarifa kuwa raia wa Nigeria, Ramon Abbas, maarufu Hushpuppi, ametekeleza wizi wa $400,000 (TZS milioni 926) kwa njia ya mtandao akiwa gerezani.
Hushpuppi alikamatwa mwaka 2020 kwa tuhuma za wizi wa jumla ya TZS bilioni 55.6, na anashikiliwa nchini Marekani.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK