Marekani Yatoa Tamko Baada ya Mbowe Kuachiwa Huru

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Balozi wa Marekani Nchini Tanzania, Donald J. Wright amesema kuachiwa kwa Mwenyekiti wa CHADEMA, Freeman Mbowe na wenzake watatu ni nafasi nzuri kwa Tanzania kubadili ukurasa na kutazama maisha yajayo

Amesema “Sasa tufanye kazi kwa pamoja tukiwa na matarajio ya kufanya mambo makubwa katika fursa zilizopo. Tutengeneze kesho yenye amani, ustawi na uhuru kwa watu wote"

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad