Mhadhiri wa Chuo Matatani Kwa Rushwa ya Ngono

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA





Mhadhiri wa Chuo cha Uhasibu Arusha (IAA), Adam Semlambo ameingia matatani, akihusishwa na rushwa ya ngono ambapo uongozi wa chuo hicho, umemsimamisha kazi kuanzia jana, machi 2, 2022 kupisha uchunguzi wa tuhuma zinazomkabili.

Taarifa iliyotolewa na kaimu mkuu wa chuo hicho, Dkt. Cairo Mwaitete, imesema uongozi wa chuo hicho umepokea kwa masikitiko makubwa taarifa inayosambaa kwenye mitandao ya kijamii ikiambatana na picha zisizo na maadili, ikimtuhumu mhadhiri huyo kwa vitendo ambavyo haviendani na maadili ya utumishi wa umma.


Source: GPL
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad