Msituwekee vikwazo zaidi kwa sababu tukikasirika hamtapenda, Putin aonya vikali

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA




Rais wa Urusi Vladimir Putin (kulia) na aliyekuwa rais wa Marekani Donald Trump.
Akizungumza katika mkutano uliopeperushwa na kituo cha habari cha serikali Rossiya 24, Putin alionya dhidi ya mataifa yanaoyopinga uvamizi wao nchini Ukraine kuendelea kuikwanza Urusi.

Putin anadai kuwa Urusi haina nia mbaya katika ardhi ya jirani ila ameonya kuwa kuwekwa kwa vikwazo zaidi huenda kukachochea mahusiano mabaya zaidi kati ya Urusi na Ukraine.

"Hatuna nia mbaya dhidi ya majirani zetu. Nadhani kila mtu lazima afikirie jinsi ya kurekebisha uhusiano, kushirikiana kawaida na kukuza uhusiano kama kawaida," Putin amenukuliwa na Shirika la Habari la BBC.


 
Magazeti Jumamosi: DP Ruto Kufika Mbele ya IEBC Kuhusu Madai Kuna Njama ya Kuiba Kura
Usemi wa Rais Putin umejiri huku mawaziri wa masuala ya kigeni wa mataifa ya Magharibi wakitua katika jiji kuu la Ubelgiji, Brussels, kujikuna vichwa jinsi ya kuhakikisha kuwa Urusi inakomesha uvamizi wake nchini Ukraine.
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad