AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo CHADEMA, Freeman Mbowe, ameomba aruhusiwe kuendelea kunyamaza kwa kipindi hiki ili awaone ndugu na familia yake pamoja na wakristo wenzake na wakati wa kuzungumza utakapofika atazungumza na Taifa.
Kauli hiyo ameitoa hii leo Machi 6, 2022, wakati aliposhiriki ibada na kutoa shukrani katika kanisa la KKT Azania Front, Posta Dar es Salaam.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK