Muhimbili Kuanzisha Benki ya Maziwa

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA



HOSPITALI ya Taifa Muhimbili-Mloganzila, inatarajia kuanzisha benki ya maziwa ya binadamu.
Akizungumza leo Ijumaa Machi 18, wakati wa ziara ya Waziri wa Afya, Ummy Mwalimu katika hospitali hiyo, Naibu Kaimu Mkurugenzi wa hospitali hiyo, Dk. Julieth Magandi, amesema uanzishaji wa benki hiyo utasaidia watoto ambao mama zao wana changamoto.

“Tuna mpango wa kuanzisha benki ya maziwa ya binadamu, ili watoto wanaozaliwa na mama zao hawana maziwa au kuwa na changamoto wanapatiwa maziwa hayo.

Dk. Mgandi amesema tayari wameshafanya tathmini na wananchi wako tayari kuchangia maziwa.
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad