AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Mwanafunzi mmoja amefariki kwa kupigwa risasi wakati polisi wakituliza vurugu za wanafunzi wa Shule ya Sekondari Gulu nchini Uganda, zilizotokana na kuzuiwa kutazama mchezo wa Man City dhidi ya Man United. Aidha, wanafunzi 1,000 wamerejeshwa majumbani na shule kufungwa kwa muda.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK