Mwanamke Aliyebadilisha Jinsia Kutoka Kike Kwenda Kiume Azuiliwa Kutoka Ukraine...Atakiwa Kupigana Vita

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA



Mwanamziki Zi Faamelu ambaye mwanzo alikuwa mwanaume kabla ya kubadilisha maumbile na kuwa mwanamke, amezuiliwa kuondoka nchini Ukraine kwa sababu bado anatumbulika kama mwanaume katika vyeti vyake, hivyo anatakiwa kubaki Ukraine na kupigania taifa lake.
Serikali ya Ukraine iliamuru wanaume wote kuanzia umri wa miaka 18 hawataruhusiwa kuondoka nchini humo kwa ajili ya kupambana katika vita ya Urusi.

Zi Faamelu ame-post video insta story akiwa analia na kuomba makundi ya haki za binadamu yamsaidie kutoka Ukraine.

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad