AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Msanii na Mtayarishaji maarufu wa muziki Bongo Emmanuel Mkono maarufu Nahreel amekanusha vikali taarifa za kuzaa nje ya mahusiano yake na mpenzi wake, Aika.
Kupitia ukurasa wake wa Instagram, Nahreel ametaka wote wanaosambaza taarifa hizo kuiheshimu familia yake na kusisitiza ana watoto wawili tu aliojaliwa na Aika.
"Kutokana na habari zinazosambaa kwenye blog mbalimbali na watu mbalimbali maarufu pia wamekuwa wakipost bila kuwa na ushahidi wowote, hizi habari sio za kweli.
Nina watoto wawili, Gold na Jamaika, na nimezaa na mwanamke mmoja Aika, kuweni makini mnapotoa habari familia yetu haiendekezi umbeya ila hii imevuka mipaka" - unasomeka ujumbe wa Nahreel.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK