AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Wanaharakati Nchini Urusi wanasema Padri John Burdin wa Kijiji cha Karabanovo amekamatwa baada ya kutoa Mahubiri ya kukemea Vita na anatarajia kufikishwa Mahakamani leo
Padri huyo amekosoa mapigano yanayoendelea kati ya Urusi na #Ukraine na amekuwa akichapisha picha za kupinga vita katika tovuti yake. Kukosoa matumizi ya Jeshi ni jinai kwa mujibu wa #Sheria iliyopitishwa na Bunge la Urusi wiki iliyopita.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK