AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Kulingana na Rais wa Urusi Vladimir Putin, vikwazo vya Magharibi “ni sawa na tangazo la vita, alisema Jumamosi, kulingana na shirika la habari la Reuters, lakini tunamshukuru Mungu kuwa bado hatujafikia hilo”.
Kufikia sasa, msemaji wa Kremlin Dmitry Peskov alikuwa ametishia kulipiza kisasi dhidi ya vikwazo hivyo, bila kutoa maelezo zaidi.
Alisema jaribio lolote la mamlaka nyingine kuweka ‘no-fly zone’ nchini Ukraine litazingatiwa na Urusi kuwa ni hatua ya kuingia kwenye mzozo wa kijeshi. Hatua hiyo alisema itakuwa na matokeo ya janga la kivita kwa Ulaya na dunia.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK