AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Wananchi wa Fela Wilayani Misungwi wamesimamisha msafara wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Miundombinu wakilalamilia kunyimwa ajira katika mradi wa Reli ya Kisasa (SGR) kutoka Mwanza hadi Isaka
Mwenyekiti wa Wananchi hao, Paulo Mrema amesema waliweka kambi eneo la mradi kwa muda mrefu wakisubiri kupatiwa Ajira, wengine wamelalamika kuombwa rushwa ili kupewa kazi
Aidha, inaelezwa kuwa Wananchi wengine hawakulipwa Fidia ya zaidi ya Tsh. Milioni 800 kwa maeneo ambayo yamechukuliwa kupitisha mradi huo. Mkuu wa Wilaya ya Misungwi amekiri Wananchi hao kutolipwa Fidia
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK