Raia Walalamika Kutopewa AJIRA Mradi wa SGR

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA



Wananchi wa Fela Wilayani Misungwi wamesimamisha msafara wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Miundombinu wakilalamilia kunyimwa ajira katika mradi wa Reli ya Kisasa (SGR) kutoka Mwanza hadi Isaka

Mwenyekiti wa Wananchi hao, Paulo Mrema amesema waliweka kambi eneo la mradi kwa muda mrefu wakisubiri kupatiwa Ajira, wengine wamelalamika kuombwa rushwa ili kupewa kazi

Aidha, inaelezwa kuwa Wananchi wengine hawakulipwa Fidia ya zaidi ya Tsh. Milioni 800 kwa maeneo ambayo yamechukuliwa kupitisha mradi huo. Mkuu wa Wilaya ya Misungwi amekiri Wananchi hao kutolipwa Fidia


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad