Seneta Apendekeza Watu wa Urusi Kumuua Rais Putin

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Kupitia kituo cha tv cha Fox News, Seneta wa Marekani amesababisha hasira kwa baadhi ya Warusi baada ya kuwataka watu wa Urusi kumuua Rais Vladimir Putin. Lindsey Graham wa Republican wa jimbo la Carolina Kusini, alisema 'Njia pekee ya uvamizi wa Urusi dhidi ya Ukraine kuisha ni kwa mtu nchini Urusi kumuua Putin, atakuwa ameifanyia nchi yake na ulimwengu kazi nzuri sana",

Kauli hii imezua hasira na kupelekea balozi wa Urusi nchini Marekani, Anatoly Antonov, kuomba maelezo juu ya matamshi hayo ambayo ameyaita "matamshi yasiyokubalika na ya mauudhi"
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad