Shirikisho la Muziki Tanzania Latoa TAMKO Kuhusu Uteuzi wa Steve Nyerere

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Kufuatia sintofahanu na minong'ono ya hapa na pale toka kwa wadau mbalimbali juu ya uteuzi wa Steve Nyerere kuwa msemaji mkuu wa shirikisho la muziki Tanzania. Hatimaye shirikisho hilo limeyasikia malalamiko hayo na leo limetoa taarifa kwa Umma.

Taarifa hiyo imetolewa na Kaimu Mtendaji, rappa Fid Q ambapo pia inawataka wasanii wajitokeze kwa wingi siku ya Jumatatu, Machi 21, pale Jangwani Sea Breeze Resort kwa ajili ya kupata muafaka na maridhiano ya jambo hilo.
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad