Ujenzi Chato Airport umefikia 90%

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA






“Mzee Magufuli alipinga rushwa na kusisitiza uchapakazi, Magufuli alitamani kuiona Tanzania iliyojikomboa kiuchumi nikasema nitaiongoza Tanzania katika mwelekeo huo, nitayaendeleza yote aliyotuachia Magufuli”
“Baadhi ya miradi aliyotuachia imekamilika, hivi karibu tutazindua Daraja la Tanzanite pale DSM ambalo ilikuwa ni ndoto ya Hayati Magufuli kuona Daraja lile linakamilika”

“Ujenzi wa Kiwanja cha Ndege cha Chato kimefikia 95% na Stendi ya Chato imefikia 90% nataka niwaahidi Wana Chato miradi hii ikikamilika nitakuja mwenyewe kuifungua kama ambavyo Hayati magufuli angekuja kufungua kama angekuwepo” ——— asema Rais Samia akiwa Chato leo kwenye mwaka mmoja wa kifo cha Hayati Dr. Magufuli.
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad