Ukraine yafungua simu ya dharura kwa Waafrika wanaokimbia vita

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA



Serikali ya Ukraine imeanzisha simu ya dharura kwa Waafrika na raia wa Asia wanaokimbia uvamizi wa Urusi, kulingana na waziri wa mambo ya nje.

Hatua hii inakuja kufuatia madai yaliyoenea ya ubaguzi wa rangi yanayowakabili waafrika wanaojaribu kuondoka nchini humo.

Wanafunzi wengi kutoka Afrika nchini Ukraine wameshirikisha simulizi za wao kuzuiwa na afisa wa usalama wa Ukraine kuondoka nchini humo.

Katika ujumbe wake wa Twitter, Waziri wa Mambo ya nje Dmytro Kuleba alisema mamlaka "zinafanya kazi kwa bidii" kuhakikisha usalama na kupita kwa wanafunzi wa Kiafrika na Asia.
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad