AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Ukraine yasema shambulizi la Russia dhidi ya mnara wa TV wa Kiev yasababisha vifo vya watu watano_fororder_3
Idara ya utoaji wa huduma za dharura ya Ukraine imesema kwenye Facebook kuwa, watu watano wameuawa na wengine zaidi ya watano kujeruhiwa katika shambulizi la Russia dhidi ya mnara wa TV wa Kiev.
Wizara ya Mambo ya Ndani ya Ukraine imesema hapo awali kuwa uendeshaji wa vituo vya televisheni utakatizwa kutokana na mashambulizi hayo.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK