AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Umoja wa Mataifa umesema zaidi ya Raia 700 wakiwemo Watoto 52 wameuawa Nchini #Ukraine tangu Urusi ilipoivamia wiki tatu zilizopita, lakini idadi hiyo huenda ikawa kubwa zaidi
Shirika la Afya Duniani (WHO) limethibitisha mashambulizi 43 dhidi ya Hospitali na Vituo vya Afya huku Watu 12 wakiuawa na 34 kujeruhiwa
Changamoto ya kukosa Huduma na Matibabu inatoa kitisho kwa Watu walio na Maradhi ya Moyo, Saratani, Kisukari, VVU na Kifua Kikuu miongoni mwa Magonjwa yanayosababisha vifo vingi Ukraine
Jamii Forums
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK