AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Naibu Meya wa Mji wa Mariupol nchini Ukraine amesema bado Wanajeshi wa Urusi wanaendelea kushambulia Mji huo licha ya makubaliano yaliyofikiwa na Urusi na Ukraine kwamba wasitishe mapigano kwa muda mfupi katika Miji miwili ya Mariupol na Volnovakha iliyokumbwa na mapigano ili kuwaruhusu Raia kuondoka.
Naibu Meya huyo amesema zoezi la kuwasaidia Raia kuondoka salama kwenye Mji wake limesimamishwa kutokana na Urusi kukiuka makubaliano na kuendeleza mashambulizi.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK