Urusi Bado Wanaishambulia Ukraine Licha ya Makubaliano ya Kusitisha Kupisha Raia Kuondoka Katika Miji

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Naibu Meya wa Mji wa Mariupol nchini Ukraine amesema bado Wanajeshi wa Urusi wanaendelea kushambulia Mji huo licha ya makubaliano yaliyofikiwa na Urusi na Ukraine kwamba wasitishe mapigano kwa muda mfupi katika Miji miwili ya Mariupol na Volnovakha iliyokumbwa na mapigano ili kuwaruhusu Raia kuondoka.

Naibu Meya huyo amesema zoezi la kuwasaidia Raia kuondoka salama kwenye Mji wake limesimamishwa kutokana na Urusi kukiuka makubaliano na kuendeleza mashambulizi.

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad