VIDEO : Mtoto wa Mbowe Azungumza Mazito Baada ya Baba yake Kuachiwa Huru

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA



Kutokea Mahakama Kuu ya Tanzania Divisheni ya Makosa ya Rushwa na Uhujumu Uchumi baada ya Mwenyekiti wa CHADEMA, Freeman Mbowe na wenzake kuachia huru, Wakili wake Peter Kibatala ameelezea kilochotokea mahakamani.

Mbowe na wenzake watatu wameachiwa huru, mbele ya Jaji Joachim Tiganga baada ya Mkurugenzi wa Mashitaka Nchini DPP, kusema hana nia ya kuendelea na mashtaka dhidi yao katika kesi ya Uhujumu Uchumi na Ugaidi nambari 16 ya mwaka 2021.

Ayo TV & Millardayo.com iko Mubashara muda huu unaweza ukabonyeza play kutazama.

VIDEO:




-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad