AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Star Wa Muziki Nchini 🇹🇿 @aikanavykenzo Kutoka Kundi La Muziki (@navykenzoofficial) Ameweka Wazi Kuwa Alikuwa Akisumbuliwa Na Ugonjwa Wa Goita Kwa Muda Mrefu Bila Ya Kujua
#Aika Amethibitisha Hilo Kupitia account Yake Ya Snapchat Usiku Wa Jana 👇
"Nimekua Nikiishi Na Goita Muda Mrefu Bila Kujua Watu Walikua Wananisifia Nina Shingo Nzuri Na Wengine Waliniambia Nina Goita Ila Nilipuuza Nimekuja Kugundua Kweli Nina Goita Na Nitaanza Matibabu Kesho (Leo) “Aikanavykenzo “
GOITA Ni Ugonjwa Wa Tezi Ya Shingo, Kwa kawaida huu ugonjwa unaletwa na upungufu wa madini aina ya iodine ambayo huzalishwa na tezi
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK