Aika wa Navykenzo Afunguka Kusumbuliwa na Ugonjwa wa Goita Kwa Muda Mrefu Bila Kujua

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Star Wa Muziki Nchini 🇹🇿 @aikanavykenzo Kutoka Kundi La Muziki (@navykenzoofficial) Ameweka Wazi Kuwa Alikuwa Akisumbuliwa Na Ugonjwa Wa Goita Kwa Muda Mrefu Bila Ya Kujua

#Aika Amethibitisha Hilo Kupitia account Yake Ya Snapchat Usiku Wa Jana 👇

"Nimekua Nikiishi Na Goita Muda Mrefu Bila Kujua Watu Walikua Wananisifia Nina Shingo Nzuri Na Wengine Waliniambia Nina Goita Ila Nilipuuza Nimekuja Kugundua Kweli Nina Goita Na Nitaanza Matibabu Kesho (Leo) “Aikanavykenzo “

GOITA Ni Ugonjwa Wa Tezi Ya Shingo, Kwa kawaida huu ugonjwa unaletwa na upungufu wa madini aina ya iodine ambayo huzalishwa na tezi


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad