Amshtaki jirani yake kwa kufunga CCTV

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA



Mwanaume mmoja aliyejulikana kwa jina la Kennedy Ondieki amemshtaki jirani yake Hellen Maeda kwa kufunga kamera ya CCTV kwenye nyumba ya makazi wanayoishi iliyopo eneo la Kilimani Nairobi, nchini Kenya ambapo mwanaume huyo amedai kuwa kamera hiyo iliyofungwa kwenye nyumba ghorofa(Apartments) wanamoishi inaingilia faragha yake hivyo ameiomba mahakama kumuamuru jirani yake kuiondoa kamera hiyo huku akiongeza kuwa anaogopa na hawezi kufurahia faragha yake kwa amani.
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad