google-site-verification: googleb0bc30c3e5fdb812.html Ashindwa kulipa bili ya mpenzi wake hotelini | UDAKU SPECIAL

Ashindwa kulipa bili ya mpenzi wake hotelini

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

  


Mwanaume mmoja nchini Kenya anayefahamika kwa jina la Henry Ochola Midiwo anashtakiwa kwa kushindwa kulipa bili ya Ksh 7000 sawa na Tsh 140,838 kwa kuigiza chakula na pombe kali hotelini akiwa na mpenzi wake.

Henry ameachiwa kwa dhamana ya Ksh 200,000 na kesi yake inatarajiwa kusikilizwa April 25 mwaka huu.

Henry alifika hotelini akiwa na mwanamke ambaye aliagiza chakula na pombe kali kisha wakaelekea chumbani pamoja. Baada ya masaa kadhaa alipelekewa bili yake na hakuwa na uwezo wa kuilipa

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad