Aslay, Abby Chams na Young Lunya Wasainiwa na Rockstar Africa

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Nyota wa muziki wa kizazi kipya nchini, wasanii @aslayisihaka, @abby_chams na rappa @younglunya wamekaribishwa kwenye record label ya Rockstar Africa ambayo itakayokuwa inafanya nao kazi kama ambavyo imekuwa ikifanya kazi na Ommy Dimpoz.

Watatu hao ambao kwasasa wapo nchini Afrika Kusini, wamesaini na label hiyo kubwa Afrika kwaajili ya kusimamiwa kwa kazi zao za muziki. Rockstar Africa ni label inayofanya kazi kwa ukaribu na kampuni kubwa ya muziki duniani, Sony Music Entertainment.

Pia label hiyo nchini Tanzania ishawahi kufanya kazi na wasanii kama AliKiba, Lady Jay Dee na Baraka The Prince.

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad