Bodi ya Klabu ya Simba SC imekubaliana Kutomfuta Kazi Kocha Pablo

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Bodi ya klabu ya Simba SC imekubaliana kutomfuta kazi kocha anayekinoa kikosi cha Simba SC kwa sasa, Pablo Franco licha ya kutofikia malengo aliyopewa na klabu ya kufika hatua ya Nusu fainali ya kombe la Shirikisho. Hivyo kocha mkuu Pablo Martin amepewa nafasi ya kupendekeza majina ya wachezaji ambao wataachwa mwishoni mwa msimu na ambao atawahitaji msimu ujao.
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad