Bodi ya klabu ya Simba SC imekubaliana kutomfuta kazi kocha anayekinoa kikosi cha Simba SC kwa sasa, Pablo Franco licha ya kutofikia malengo aliyopewa na klabu ya kufika hatua ya Nusu fainali ya kombe la Shirikisho. Hivyo kocha mkuu Pablo Martin amepewa nafasi ya kupendekeza majina ya wachezaji ambao wataachwa mwishoni mwa msimu na ambao atawahitaji msimu ujao.
HABARI HIZI ZINAPATIKANA KWENYE APP YA UDAKU SPECIAL, BONYEZA HAPA KUIDOWNLOAD KWENYE SIMU YAKO BURE
________________________________
Join AJIRA YAKO Group for Daily Job Updates CLICK HERE
0 Blogger:
Post a Comment