AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Bodi ya klabu ya Simba SC imekubaliana kutomfuta kazi kocha anayekinoa kikosi cha Simba SC kwa sasa, Pablo Franco licha ya kutofikia malengo aliyopewa na klabu ya kufika hatua ya Nusu fainali ya kombe la Shirikisho. Hivyo kocha mkuu Pablo Martin amepewa nafasi ya kupendekeza majina ya wachezaji ambao wataachwa mwishoni mwa msimu na ambao atawahitaji msimu ujao.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK