Diamond Platnumz Kufunga Ndoa Leo? Kafunguka Kualika Watu Wachache Kuhudhuria Tukio Lake

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Ni headlines za mwanamuziki @diamondplatnumz ambae ametangaza kutoa mualiko kwa watu wachache watakao hudhuria shughuli yake siku ya kesho April 11' lakini hafla ya pamoja itafuata.

Kupitia ukurasa wake wa instagram Diamond ameweka wazi hilo na kueleza kuwa kwa watu ambao watakua nyumbani basi watashuhudia shughuli hiyo kupitia kituo chake cha television Wasafi Tv.


Bado mpaka sasa haijawa wazi ni shughuli gani itakayo kwenda kufanyika siku ya kesho, huku kukiwa na minong'ono ya kwamba huenda mwanamuziki huyo anakwenda kufunga ndoa.

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad