Diva Loveness Athibitisha Kutotumia Tena Jina la Baba yake, Sasa Kutumia la Mumewe

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Kutoka instagram page ya mtangazaji wa Wasafi media @divatheebawse ameweka wazi kuwa baada ha maisha yake mapya ya ndoa ameamua kubadilisha jina lake na kuondoa (surname) utambulisho wa jina la baba yake na kutumia jina la mume wake Abdulrazaak .


Ameandika haya:
Baada Ya Maisha Yangu Mapya Ya Ndoa. Nimebadilisha Jina Langu Kisheria Kabisa. Nafahamika Kama Diva Raihannah Gissele Abdulrazaak. Kwenye ID Yangu Mpya itaambatana na Legal Names Diva Raihannah Gissele. National ID ikiisha Muda wake I wil Remove Malinzi as my surname as well.
Pili Dini Yangu sio Mkristo Tena Bali Muislamu. Jina La Malinzi Sitalitumia Tena na ata baadhi Ya Vitu zangu zitakuwa na Middle name ya Raihannah.
Isa new life ... brand new life. this is the last time having change of names legal!.
thanks 😘

Hiii si mara ha kwanza kwa mtangazaji huyo maarufu wa vipindi vya mahusiano ku adilisha jina lake kisheria .
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad