Diva Loveness Athibitisha Kutotumia Tena Jina la Baba yake, Sasa Kutumia la Mumewe


Kutoka instagram page ya mtangazaji wa Wasafi media @divatheebawse ameweka wazi kuwa baada ha maisha yake mapya ya ndoa ameamua kubadilisha jina lake na kuondoa (surname) utambulisho wa jina la baba yake na kutumia jina la mume wake Abdulrazaak .


Ameandika haya:
Baada Ya Maisha Yangu Mapya Ya Ndoa. Nimebadilisha Jina Langu Kisheria Kabisa. Nafahamika Kama Diva Raihannah Gissele Abdulrazaak. Kwenye ID Yangu Mpya itaambatana na Legal Names Diva Raihannah Gissele. National ID ikiisha Muda wake I wil Remove Malinzi as my surname as well.
Pili Dini Yangu sio Mkristo Tena Bali Muislamu. Jina La Malinzi Sitalitumia Tena na ata baadhi Ya Vitu zangu zitakuwa na Middle name ya Raihannah.
Isa new life ... brand new life. this is the last time having change of names legal!.
thanks 😘

Hiii si mara ha kwanza kwa mtangazaji huyo maarufu wa vipindi vya mahusiano ku adilisha jina lake kisheria .
______

Usikose Elimu ya pesa ni muhimu mno,na zaidi ukilipia Tsh 1000 ebook hapo Chini unaweza kushinda Tsh Laki moja bofya HAPA



 

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Below Post Ad